Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya ZYBA lililoandaa Bonaza hilo Ndg, Azizi Salum akizungumza wakati wa hafla hiyo ya Mchezo wa Bonaza la Nyota wa mchezo wa Basket Ball kutoka Vilabu vya Tanzania Bara na wa Vilabu vya Zanzibar lililofanyika katika Uwanja wa Mao Zendugs Zanzibar Timu ya Nyota wa Tanzania Bara wameshinda kwa Vikapu 66 -38.
Maisha : Rais Dkt. Samia Ashiriki Ufunguzi wa Hema la Ibada ya Kanisa la
Arise and Shine Kawe Jijini Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata
utepe Ufu...
11 hours ago
No comments:
Post a Comment