Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya ZYBA lililoandaa Bonaza hilo Ndg, Azizi Salum akizungumza wakati wa hafla hiyo ya Mchezo wa Bonaza la Nyota wa mchezo wa Basket Ball kutoka Vilabu vya Tanzania Bara na wa Vilabu vya Zanzibar lililofanyika katika Uwanja wa Mao Zendugs Zanzibar Timu ya Nyota wa Tanzania Bara wameshinda kwa Vikapu 66 -38.
DKT.ABBASI AFANYA ZIARA YA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA KIMKAKATI
HIFADHI YA NGORONGORO
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Hassan Abbasi leo tarehe
10 Mei, 2025 amefanya ziara katika eneo la Hifadhi ya Ngorongoro na kukagua
ut...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment