Habari za Punde

Bonaza la Wachezaji Stars wa Mchezo wa Basket Ball Uliowakutanisha Wachezaji Zanzibar na Tanzania Bara Lililofanyika Katika Uwanja wa Mao Zedungs Zanzibar Bara Wameibuka Kwa Vikapu 66 - 38.

 
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya ZYBA lililoandaa Bonaza hilo Ndg, Azizi Salum akizungumza wakati wa hafla hiyo ya Mchezo wa Bonaza la Nyota wa mchezo wa Basket Ball kutoka Vilabu vya Tanzania Bara na wa Vilabu vya Zanzibar lililofanyika katika Uwanja wa Mao Zendugs Zanzibar Timu ya Nyota wa Tanzania Bara wameshinda kwa Vikapu 66 -38.











No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.