Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji, Ndg.Mustafa Aboud Jumbe, akitoa maelezo kwa waandishi wa habari kuhusiana na tukio la kujinyoga kwa Mfanyakazi wa Shirika la Meli Zanzibaer Msaidizi Injinia wa Meli ya Mapinduzi 2 Ndg.Haji Abdalla Khatib mwenye umri wa miaka 55 mkaazi wa mtaa wa Kilima Hewa Mjini Unguja
Katibu Mkuu Ndg. Mustafa Jumbe amesema marehemu alikuwa fundi umeme wa miaka mingi tangu enzi za meli ya ukumbozi ni mtu muhimu sana katika shirika hilo.
Pamoja na hayo amesema uchunguzi wa kifo hicho unafanyika na tayari jeshi la Polisi limeshaaza kazi hiyo mara moja kwa lengo la kubaini sababu za kifo cha injini huyo kujitowa uhai wake.
Mwili wa marehemu Haji Abdalla Khatib ukiwa katika gari ya Polisi baada ya kushushwa katika Meli ya MV Mapinduzi iliporejea katika Bandari ya Unguja kukatisha safari yake ikiwa ikielekea Kisiwani Pemba ikiwa katika safari zake za kawaidiKatibu Mkuu Ndg. Mustafa Jumbe amesema marehemu alikuwa fundi umeme wa miaka mingi tangu enzi za meli ya ukumbozi ni mtu muhimu sana katika shirika hilo.
Pamoja na hayo amesema uchunguzi wa kifo hicho unafanyika na tayari jeshi la Polisi limeshaaza kazi hiyo mara moja kwa lengo la kubaini sababu za kifo cha injini huyo kujitowa uhai wake.
(Picha na Abdalla Omar).
No comments:
Post a Comment