Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt.Philip Isdor Mpango (Mb) (kulia) akifuatilia ufunguzi wa mikutano ya Jukwaa la Juu la Kisiasa la Ngazi za Mawaziri chini ya Umoja wa Mataifa inayofanyika New York nchini Marekani. Kulia kwakeshoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Dkt. John Jingu . Waziri Mpango anatarajiwa kuwasilisha taarifa ya Tanzania kwa mara ya kwanza ya Mapitio ya Hiyari ya Utekelezaji wa Malengo Endelevu.
TIRA YAZINDUA “KIJIJI CHA BIMA” SABASABA KUINUA UELEWA WA JAMII KUHUSU BIMA
-
Katika kuimarisha uelewa wa matumizi ya bima kwa Jamii, Mamlaka ya
Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) kwa kushirikiana na Kampuni pamoja na
watoa huduma za ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment