Waziri wa Viwanda na
Biashara Mhe. Innocent Bashungwa akizungumza na wamiliki wa Viwanda Jijini Dar es Salaam kuhusu hatua
zilizochukuliwa na Serikali ili kuweka mazingira wezeshi ya ushindani kwa
wamiliki hao wa Viwanda.
Naibu Katibu Mkuu wa
Wizara ya Viwanda na Biashara Bw. Ludovick
Nduhiye akizungumza wakati wa mkutano wa Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe
Innocent Bishungwa na wamiliki wa
viwanda Jijini Dar es Salaam kuhusu
hatua zilizochukuliwa na Serikali ili kuweka mazingira wezeshi ya ushindani kwa
Viwanda hapa nchini.
Mkurugenzi Mtendaji
wa Shirikisho la wenye Viwanda nchini (CTI)
Bw. Leordiga Tenga akizungumza wakati wa mkutano wa Waziri wa
Viwanda na Biashara Mhe.
Innocent Bashungwa na wamiliki wa
Viwanda Jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mkurugenzi wa
Idara ya Maendeleo ya Viwanda Bw. Leo Lyayuka akizungumza wakati wa wa Waziri
wa Viwanda na Biashara Mhe. Innocent
Bashungwa na wamiliki wa Viwanda Jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya wamiliki
wa Viwanda
wakifuatilia mkutano na Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Innocent Bashungwa
uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam kuhusu hatua zilizochukuliwa na Serikali
ili kuweka mazingira wezeshi ya ushindani kwa wamiliki hao wa Viwanda.
Picha na Maelezo Dar es Salaam
Na. Mwandishi Wetu - Maelezo
Serikali yawahakikishia wamiliki wa Viwanda nchini kuwa itaendelea kuweka mazingira wezeshi yataka yo imarisha ujenzi wa uchumi wa viwanda kwa kuweka mipango mahususi ya kuongeza uzalishaji ili kuendana na mahitaji ya Masoko katika nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika
(SADC) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
Akizungumza na wandishi wa habari leo Julai 28,
2019 Jijini Dar es Salaam, Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Innocent
Bashungwa amesema kuwa wamiliki hao wanapaswa kuendelea kukuza uwezo wa uzalishaji bidhaa ilikuendananasokolililopokatikajumuiyahizo.
“TunayokilasababuyakuhakikishakuwaSerikalinawamilikiwaViwandatunawekamikakatiyapamoja
Ili kuwekamazingirawezeshiyatakayokuzasektayaviwandahapanchini”.AlisisistizaMheBashungwa.
AkifafanuaamesemakuwasektayaViwandainasaidiakuzalishaajiranakuchangiakatikakuwezeshamaendeleoendelevukwakuimarishaviwandavilivyoponavipyakwamaendeleoyanchiyetu.
AkizungumziachangamotozasektahiyoMheBashungwaamesemakuwajukumu
la SerikalinikuchukuachangamotozawamilikiwaViwandanakuzitafutiaufumbuzikwaharakailidhamirayaSerikaliyakujengauchumiwaviwandaitimiekwawakatikwamaslahimapanayaTaifanawamilikiwaviwandahivyo.
“SerikaliyaAwamuyaTanonaRaiswetumpendwaDkt
John PombeMagufuliinatoakipaumbelekatikakuhakikishakuwadhanayaujenziwaViwandainatekelezwakwavitendokwakujengamazingirawezeshikatikasektahiimuhimukwaujenziwaviwanda”
AlisisitizaMhe. Bashungwa.
MkutanowaWaziriwaViwandanaBiasharaMheBashungwaumelengakuimarishasektayaviwandahapanchinikwakuwekamikakakatiitakayowawezeshakumuduushindaniwabidhaakutokazanje.
No comments:
Post a Comment