VIONGOZI wa Serikali kutoka kulia Makamu wa
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein,
Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa, Makamu wa Pili wa Rais wa
Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi, Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahim
Hamis Juma, Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman MakunguRais Mstaa wa
Tanzania Mhe. Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaaf wa Tanzania Mhe.Dkt. Amani Karume,
Makamu wa Rais Mstaaf wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal na Katibu
Mkuu Kiongozi wa Tanzania Balozi John Kijazi, wakiwa wamesimama wakati ukipigwa
wimbo wa Taifa kabla ya kuaza mkutano wa 39 wa SADC uliofanyika katika ukumbi
wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam
RAIS wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa 39 wa SADC
katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam,
wakati wa ufunguzi wa mkutano huo na kukabidhiwa Uwenyekiti wa SADC.
No comments:
Post a Comment