MAKAMU Mwenyekiti wa kamati ya Fedha Biashara na Kilimo ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Hamida Abdalla Issa (kulia) akicheza bao na mmoja ya wajumbe wa kamati hiyo, katika sehemu ya kupumzikia ya chumba cha chini ya bahari kilichoko katika hoteli ya Manta Resort Makangale.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
OUT YAONGOZA MJADALA WA MAENDELEO ENDELEVU BARANI AFRIKA, KONGAMANO LA
BAASANA
-
Kongamano la Pili la Kitaaluma la BAASANA Afrika limezinduliwa rasmi
jijini Arusha, likiwakutanisha wanazuoni na wataalamu kutoka mataifa
mbalimbali kuja...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment