MAKAMU Mwenyekiti wa kamati ya Fedha Biashara na Kilimo ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Hamida Abdalla Issa (kulia) akicheza bao na mmoja ya wajumbe wa kamati hiyo, katika sehemu ya kupumzikia ya chumba cha chini ya bahari kilichoko katika hoteli ya Manta Resort Makangale.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI YAZINDUA CHANJO ZA MIFUGO MKOANI GEITA
-
Na Nasra Ismail
Wizara ya ufugaji na uvuvi leo imezindua chanjo ya homa ya mapafu kwa
ngombe mkoani Geita pamoja na kuzindua zoezi la uvikwaji wa hereni ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment