Mshambuliaji wa Timu ya Malindi Suleiman Kassim Selembe akijiandaa kuzuia mpira huku beki wa Timu ya MCC akijiandaa kumzuiya wakati wa mchezo wao wa Kombe la Shirikisho Afrika Unaofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
Timu hizo zimemaliza kipindi cha kwanza kufungana mchezo unaofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Mchezo Uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedung
Timu ya Muembemakumbi City Imeshinda Bao 2-0- Dhidi ya Timu ya Chipukuzi
-
Mchezaji wa Timu ya Muembemakumbi City akimpita beki wa Timu ya Chipukizi
wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ mchezo uliyofanyika leo
20-10-...
55 minutes ago
No comments:
Post a Comment