Mshambuliaji wa Timu ya Malindi Suleiman Kassim Selembe akijiandaa kuzuia mpira huku beki wa Timu ya MCC akijiandaa kumzuiya wakati wa mchezo wao wa Kombe la Shirikisho Afrika Unaofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
Timu hizo zimemaliza kipindi cha kwanza kufungana mchezo unaofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
WAJUMBE BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA ARUSHA DC WAWANYOOSHEA KIDOLE BAADHI YA WAFANYAKAZI WAZEMBE UKUSANAYAJI MAPATO
-
*ALAMIKIA UKUSANYAJI HAFIFU MAPATO *
*Woinde Shizza Michuzi Tv, Arusha*
*WAJUMBE kikao cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Arusha DC wamesema
uzemb...
58 seconds ago
No comments:
Post a Comment