Mshambuliaji wa Timu ya Malindi Suleiman Kassim Selembe akijiandaa kuzuia mpira huku beki wa Timu ya MCC akijiandaa kumzuiya wakati wa mchezo wao wa Kombe la Shirikisho Afrika Unaofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
Timu hizo zimemaliza kipindi cha kwanza kufungana mchezo unaofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
Meridianbet Yaungana na Diwani wa Kata Kufanya Usafi Africana
-
IKIWA ni Jumamosi nyingine ya kijanja, wakali wa ubashiri Meridianbet leo
hii wamefika Mbezi Africana pale Kituoni na kufanya zoezi la usafi. Lakini
pia l...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment