Habari za Punde

Mchezo wa Kombe la Shirikisho Kati Ya Malindi na MCC Kutoka Nchini Somali Kipindi Cha Kwaza Kimemaliza Timu Hizo Zikiwa Sare ya Bila Kufungana Mchezo Unaofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.

Mshambuliaji wa Timu ya Malindi Suleiman Kassim Selembe akijiandaa kuzuia mpira huku beki wa Timu ya MCC akijiandaa kumzuiya wakati wa mchezo wao wa Kombe la Shirikisho Afrika Unaofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
Timu hizo zimemaliza kipindi cha kwanza kufungana mchezo unaofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar.






No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.