Wapenzi wa mchezo wa Mpira wa Miguu Zanzibar wakifuatilia Michuano ya Kombe la Shirikisho Kati ya Timu ya Malindi na MCC kutoka Nchini Somali mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar, Timu hizo zimetoka sare ya bila kufungana.
Timu ya MCC ni mwenyeji wa mchezo huo baada kuomba shirikisho la Mpira Afrika CAF.Uwanja wa Amaan utakuwa ni Uwanja wake wa ugenini.
No comments:
Post a Comment