Watoto kutoka sehemu mbalimbali wakifurahia na kusherehekea Sikukuu ya Eid El Hajj katika ufukwe wa Bahari ya Forodhani Zanzibar kwa michezo mbalimbali na kuogelea kama walivyokutwa na Mpiga picha wetu wakiwa katika ufukwe huo wakati wa jioni.
DK.SAMIA AKIWA KATIKA PICHA TOFAUTI ALIPOZURU KABURI LA HAYATI DK.MAGUFULI
-
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha
Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofauti ya Picha
alipozuru Kabu...
43 minutes ago
No comments:
Post a Comment