Watoto kutoka sehemu mbalimbali wakifurahia na kusherehekea Sikukuu ya Eid El Hajj katika ufukwe wa Bahari ya Forodhani Zanzibar kwa michezo mbalimbali na kuogelea kama walivyokutwa na Mpiga picha wetu wakiwa katika ufukwe huo wakati wa jioni.
WALEMAVU WA MACHO WAPEWE FURSA KAMA WATU WENGINE
-
Na Linda Akyoo -Moshi
Mratibu wa Chama cha Wasioona Tanzania kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi
Ajira vijana na wenye ulemavu Kizito Lucas Wambura,amefanya u...
19 minutes ago
No comments:
Post a Comment