Watoto kutoka sehemu mbalimbali wakifurahia na kusherehekea Sikukuu ya Eid El Hajj katika ufukwe wa Bahari ya Forodhani Zanzibar kwa michezo mbalimbali na kuogelea kama walivyokutwa na Mpiga picha wetu wakiwa katika ufukwe huo wakati wa jioni.
RUVUMA:JESHI LA POLISI WAMTIA MBARONI WIZI WA VIFAA NDANI YA MAGARINI HALFA
MINJA MKAZI WA SANAWALI JIJI LA ARUSHA
-
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma Kamishina msaidizi Mwandamizi
Marco Chilya,akionyesha baadhi ya kompyuta Mpakato(Laptop)zilizokamatwa na
Polisi k...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment