Watoto kutoka sehemu mbalimbali wakifurahia na kusherehekea Sikukuu ya Eid El Hajj katika ufukwe wa Bahari ya Forodhani Zanzibar kwa michezo mbalimbali na kuogelea kama walivyokutwa na Mpiga picha wetu wakiwa katika ufukwe huo wakati wa jioni.
Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mhe. Daniel Francisco ahitimisha ziara yake ya
Kiserikali, Ikulu Jijini Dar es Salaam.
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akiagana na Mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mhe. Daniel Francisco
Chapo mar...
41 minutes ago
No comments:
Post a Comment