Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika ibada ya kuwaombea marehemu waliofariki katika ajali ya moto wa lori la mafuta lililoanguka katika eneo la Msamvu mjini Morogoro. Ibada hiyo ilifanyika kwenye viwanja vya hospitali ya mkoa wa Morogoro, Agosti 11, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
SACP NGOLE AKAGUA MIFUMO YA KIUSALAMA KATIKA MGODI WA ANGLO - SONGWE.
-
Mkuu wa Kitengo cha Usalama wa Miundombinu Muhimu Kamishna Msaidizi
Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Ngole kutoka Makao Makuu ya Polisi
Dodoma amekagua ...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment