Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais-Muungano na
Mazingira Mhe. George Boniface Simbachawene akizungumza na watendaji kutoka
Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais alipotembelea mradi wa upandaji mikokoko
katika Shehia ya Kilimani Wilaya ya
Mjini Mkoa wa Magharibi.
Mratibu wa Shughuli za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
Khalid Bakari Hamrani (kushoto) akimuongoza Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa
Rais-Muungano na Mazingira Mhe. George Boniface Simbachawene kukagua mradi wa
ujenzi wa Kituo cha Afya Kianga katika Wilaya ya Magharibi A Mkoa wa Mjini
Magharibi.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais-Muungano na
Mazingira Mhe. George Boniface Simbachawene (wa pili kulia) akiendelea
kutembelea mradi wa ujenzi wa akituo cha afya Kianga.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais-Muungano na
Mazingira Mhe. George Boniface Simbachawene (mbele katikati) akiwa kwenye picha
ya pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.
Mohamed Aboud (wa pili kulia),Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe.
Mihayo Juma Nunga (wa pili kushoto), Katibu Mkuu Ofisi hiyo Shaaban Seif
(kulia) pamoja na watendaji kutoka Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais na Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais-Muungano na
Mazingira Mhe. George Boniface Simbachawene (katikati) akiangalia maabara ya
kituo cha afya Kianga alipofanya ziara Wilaya ya Magharibi A Mkoa wa Mjini
Magharibu.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais-Muungano na
Mazingira Mhe. George Boniface Simbachawene akiwa katika picha ya pamoja na
wananchi wanaosimamia mradi wa ujenzi wa kituo cha afya Kianga pamoja na
watendaji kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais wa Muungano na Makamu wa Pili wa
Zanzibar.
Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais.
No comments:
Post a Comment