Uwanja wa Mao Zedong Zanzibar umekuwa mkombozi wa Michuano mbalimbali ya mchezo wa mpira katika visiwa vya Zanzibar, kupunguza uhaba wa viwanja na kuweza kufanyika michezo miwili katika viwanja hivyo, kama inavyoonekana pichani michezo hiyo ikiendelea kwa mechi mbalimbali za Ligi za Daraja la Kwanza na ligi kuu ya Zanzibar.
MKUTANO MKUU WA ALAT 2024; WAZIRI MCHENGERWA ATEMBELEA BANDA LA PSSSF
-
ZANZIBAR
MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma umeshiriki kwenye Mkutano
Mkuu wa 38 wa Jumuiya ya Tawala za Mikoa Tanzania (ALAT) uliofanyika ji...
7 minutes ago
No comments:
Post a Comment