Uwanja wa Mao Zedong Zanzibar umekuwa mkombozi wa Michuano mbalimbali ya mchezo wa mpira katika visiwa vya Zanzibar, kupunguza uhaba wa viwanja na kuweza kufanyika michezo miwili katika viwanja hivyo, kama inavyoonekana pichani michezo hiyo ikiendelea kwa mechi mbalimbali za Ligi za Daraja la Kwanza na ligi kuu ya Zanzibar.
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment