KATIBU
Mkuu Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ndg. Salum Maulid Salum
(kulia) akimkabidhi Cheti Mshiriki wa Mafunzo ya Upishi na Ukarimu Ndg. Rajab
Abass Rajab, wakati wa ufungaji wa Mafunzo hayo yaliotolewa na Taasisi ya China
National Research Institute of Food&Fermentation Industrieskulia kwa Katibu
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo Mr. Dong Jianhui, hafla hiyo imefanyika katika
ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakili Kikwajuni Jijini Zanzibar. Leo
MKURUGENZI
Mkuu wa Taasisi ya China National Research Institute of Food &Fermantation
Industries Mr. Dong Jianhui, akizungumza wakati wa hafla ya ufungaji wa mafunzo
hayo ya Upishi na Ukarimu, yaliotolewa na Taasisi yake, hafla hiyo ya ufungaji
wa mafunzo hayo imefanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni
Zanzibar
Mkuu wa Kitengo cha
Uchumi na Biashara wa Ubalozi Mdogo wa Jamhuri ya Watu wa China aliyepo
Zanzibar Bibi Shen Qi alieleza kuwa
hatua hiyo ni miongoni mwa juhudi za kuendeleza uhusiano na ushirikiano wa
kihistoria uliopo baina ya pande mbili hizo.
WANAFUNZI
wa Mafunzo ya Upishi na Ukarimu wakifuatilia hafla hiyo ya ufungaji wa mafunzo
yao katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar
WASHIRIKI
wa Mafunzo ya Ukarimu na Mapishi wakionesha kwa vitendo jinsi mafunzo hayo
waliyoyapata kupitia Taasisi ya China National Research Institute of Food &Fermentation
Industries, wakati wa ufungaji wa mafunzo hayo katika ukumbi wa Sheikh Idrisa
Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar
WASHIRIKI
wa Mafunzo ya Ukarimu na Mapishi wakionesha kwa vitendo jinsi mafunzo hayo
waliyoyapata kupitia Taasisi ya China National Research Institute of Food &Fermentation
Industries, wakati wa ufungaji wa mafunzo hayo katika ukumbi wa Sheikh Idrisa
Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar
KATIBU
Mkuu Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ndg. Salum Maulid Salum
akihutubia wakati wa ufungaji wa Mafunzo ya Upishi na Ukaramu yaliotolewa na
Taasisi kutoka China National Research Institute of Food &Fermentation
Industries, hafla hiyo ya ufungaji wa mafunzo hayo imefanyika katika ukumbi wa
Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar
MSHIRIKI
wa Mafunzo ya Upishi na Ukarimu yaliotolewa na Taasisi ya China National
Research Institute of Food &Fermentation Industries, akitowa neno la
shukrani kwa niaba ya washiriki wa mafunzo hayo yaliowashirikisha Wanafunzi
kutoka katika Taasisi za Serikali na Binafsi yaliochukuwa wiki nne.wakati wa
ufungaji wa mafunzo hayo katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni
Zanzibar.
WASHIRIKI
wa Mafunzo ya Upishi na Ukarimu yaliotolewa na Taasisi ya China National
Institute of Food & Fermentation Industries, wakiwa katika picha ya pamoja
na Vyeti vyao baada ya kukabidhiwa na kufunga mazunzo hayo katika ukumbi wa
Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.
No comments:
Post a Comment