Habari za Punde

Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar Kati ya Malindi na Jan'gombe Boys Mchezo Uliofanyika Uwanja wa Amaan Timo ya Jan'gombe Boys Imeibuka na Ushindi wa Bao 2-0.

Muaamuzi wa Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar akizungumza na Kocha Mkuu wa Timu ya Jang'ombe Boys Mohamme Sallah wakati wa mchezo huo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya Boys imeshinda mchezo huo bao 2-0.
Mshambuliaji wa Timu ya Jang'ombe Boys akijaribu kumpita beki wa Timu ya Malindi wakati wa mchezo wao wa ligi kuu ya Zanzibar uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya Jang'ombe Boys imeshinda mchezo huo bao 2-0.


Wachezaji wa Timu ya Jang'ombe Boys wakishangilia bao lao la pili wakati wa mchezo wake na Timu ya Malindi uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.





No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.