Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein
akishiriki katika Matembezi ya Tamasha la Kitaifa la Mazoezi ya Viungo
Zanzibar,yalioazia katika viwanja vya Mnazi Mmoja na kumalizikia katika Uwanja
wa Mao Zedong Jijini Zanzibar, (kushoto kwa Rais) Makamo wa Pili wa Rais wa
Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa
Rais,Mhe. Mohammed Aboud Mohammed na Spika wa Barazac la Wawakilishi
Zanzibar.Mhe Zuberi Ali Maulid na (kulia kwa Rais) Katibu Mkuu Wizara ya Vijana
Michezo Utamaduni na Sanaa Zanzibar.Ndg. Omar Hassan Omar (King) Mkuu wa Mkoa
wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Hassan Khatib Hassan, wakiwa katika matembezi
hayo wakipita katika barabara ya kilimani wakielekea Uwanja wa Mao Zedong
kumalizia matembezi hayo.
WASHIRI
wa matembezi ya Tamasha la Kitaifa la Mazoezi ya Viungo Zanzibar, wakipita
katika barabara ya Kariakoo Jijini Zanzibar wakielekea katika Uwanja wa Mao Zedong
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein
akiwapungia mkono Wanamichezo wa Vikundi vya Mazoezi kutoka Tanzania Bara,
Pemba na Wenyeji Unguja wakipita katika
jukwaa la viongozi wakimalizia matembezi hayo ya Kataifa ya Mazoezi yalioazia
katika eneo la viwanja vya mnazi mmoja na kumalizikia katika Uwanja wa Mao
Zedong Jijini Zanzibar
WASHIRIKI
wa Tamasha la Mazoezi ya Viungo la Kitaifa Zanzibar kutoka Jijini Dar es Salaam
wa (Dar Jogging) wakiingia katiuka viwanja vya Mao Zedong
MSHIRIKI
wa Tamasha la Mazoezi ya Viungo Kitaifa Zanzibar.Bi. Khadija Khamis (70) kutoka
Kikundi cha Maisara Fitness Club (wa kwanza kulia) akiwa na mkoba mkononi
akimaliza matembezi hayo ya mazoezi ya viungo wakipita katika jukwaa la
Viongozi katika uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar
WASHIRIKI
kutoka Vikundi vya Mazoezi Zanzibar wakishiriki katika mazoezi ya pamoja katika
Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar baada ya kumalizia matembezi hayo katika
Uwanja huo.mazoezi hayo huadhimishwac Kitaifa kila mwaka Januari Mosi, mwaka
huu yameadhimishwa katika Uwanja wa Mao Zedong
VIONGOZI
wa Mazoezi ya Viungo Kitaifa Ali Chum na Abubakar Makame wakiongoza mazoezi
hayo katika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar, baada ya kumaliza matembezi
hayo yalioazia katika eneo la Mnazi mmoja na kumalizia katika uwanja huo
WASHIRIKI
wa Tamasha la Mazoezi ya Viungo la Kitaifa Zanzibar wakishiki katika mazoezi ya
pamoja katika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar
WASHIRIKI
wa Tamasha la Mazoezi ya Viungo la Kitaifa Zanzibar wakishiki katika mazoezi ya
pamoja katika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar
WASHIRIKI
wa Tamasha la Mazoezi ya Viungo la Kitaifa Zanzibar wakishiki katika mazoezi ya
pamoja katika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar
WASHIRIKI
wa Tamasha la Mazoezi ya Viungo la Kitaifa Zanzibar wakishiki katika mazoezi ya
pamoja katika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar
MWAKILISHI
wa Vikundi vya Mazoezi Zanzibar Sihaba Mohammed akisoma risala kwa niaba ya
Vikundi vya Mazoezi ya Viungo Zanzibar wakati wa hafla ya maadhimisho ya
Tamasha la Mazoezi ya Viungo la Kitaifa Zanzibar lililofanyika Uwanja wa Mao
Zedong Jijini Zanzibar
WAZIRI
wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar.Mhe.Mohammed Aboud Mohammed,
akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, kuzungumza na Wanamichezio wa
Vikundi vya Mazoezi ya Viungo Zanzibar, wakati wa Tamasha la Mazoezi ya Viungo la
Kitaifa Zanzibar lililofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar
MWANASHERIA
Mkuu wa Serikali Mhe.Said Hassan Said (mwenye fulana nyeusi) akiwa na Washauri
wa Rais Mhe. Abdalla Rashid Abdalla, Mhe Abdulraham Mwinyijumbe na Mshauri wa
Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya Kale.Mhe Abdalla Mwinyi Khamis,
wakifuatilia hafla hiyo ya mazoezi ya Tamasha la Mazoezi ya Viungo Kitaifa
Zanzibar lililofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein
akiwahutubia Wanamichezo wa Vikundi vya Mazoezi ya Viungo Zanzibar wakati wa
maadhimisho ya mazoezi ya Kitaifa yaliofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong
Jijini Zanzibar
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein
akimkabidhi Vyeti vya Ushiriki wa
Vikundi vya mazoezi kutoka Kaskazini Pemba Ndg.Suleiman Hamad, wakati wa
maadhimisho ya Tamasha la mazoezi ya Viungo la Kitaifa Zanzibar lililofanyika
Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein
akimkabidhi Vyeti kwa Washiriki kutoka Tanzania Bara Bi.Salma Masewe kutoka
Jogging Dodoma, wakati wa maadhimisho ya Tamasha la mazoezi ya Viungo la
Kitaifa Zanzibar lililofanyika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein
akimkabidhi Vyeti kwa Mshiriki wa Tamasha la Mazoezi ya Viungo Kitaifa Zanzibar
Ndg. Abdalla Manyama, wakati wa maadhimisho ya Tamasha la mazoezi ya Viungo la
Kitaifa Zanzibar lililofanyika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar
WASHIRIKI
wa Tamasha la Mazoezi ya Viungo Kitaifa Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akiwahutubia katika uwanja wa Mao Zedong (hayupo pichani) wakati wa maadhimisho
hayo hufanyika kila mwaka ifikapo januari mosi
WASHIRIKI
wa Tamasha la Mazoezi ya Viungo Kitaifa Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akiwahutubia katika uwanja wa Mao Zedong (hayupo pichani) wakati wa maadhimisho
hayo hufanyika kila mwaka ifikapo januari mosi
No comments:
Post a Comment