Waziri wa Nchi Ofisi
ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mussa Azzan Zungu akiongea na
wawekezaji wa Nishati ya kupikia aina ya gesi kutoka Kampuni ya KOPAGas.
Kampuni hiyo imelenga kusambaza nishati ya gesi majumbani kwa gharama nafuu kwa
mfumo wa ‘kulipia kadiri ya unavyotumia’ Wawekezaji hao wamemtembelea Waziri
Zungu katika Ofisi ndogo ya Makamu wa Rais, Mtaa wa Luthuli jijini Dar es
Salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mussa Azzan Zungu akiongea na Bw. Stanslav Toldy raia wa Uingereza akiwa ni sehemu ya wawekezaji wanaotaka kuwekeza katika uzalishaji wa magari yenye kutumia nishati ya umeme. Wawekezaji hao wamemtembelea Waziri Zungu katika Ofisi ndogo ya Makamu wa Rais, Mtaa wa Luthuli jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi
ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mussa Azzan Zungu hii leo ameungana
na kikundi cha Pamoja Youth katika
zoezi la Upandaji miti katika Shule ya Sekondari Buguruni-Moto. Takriban miti 100
imependwa katika eneo hilo ikiwemo miti ya matunda na miti ya vivuli.
No comments:
Post a Comment