Mkuu wa
Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akinawa mikono kabla ya kuingia ofisini
kwake Makao Makuu ya Jeshi hilo Jijini Dodoma leo, kuendelea na majukumu yake, ikiwa
ni njia moja wapo ya kufanya mfano kwa vitendo na kusisitiza askari wote
kufuata maelekezo yote yaliyotolewa na viongozi mbalimbali wa Kitaifa na
wataalamu wa afya ili kujikinga na virusi vya ugonjwa wa Corona (COVID –19).
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)
M...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment