Mkuu wa
Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akinawa mikono kabla ya kuingia ofisini
kwake Makao Makuu ya Jeshi hilo Jijini Dodoma leo, kuendelea na majukumu yake, ikiwa
ni njia moja wapo ya kufanya mfano kwa vitendo na kusisitiza askari wote
kufuata maelekezo yote yaliyotolewa na viongozi mbalimbali wa Kitaifa na
wataalamu wa afya ili kujikinga na virusi vya ugonjwa wa Corona (COVID –19).
MATUKIO KATIKA PICHA NYUMBANI KWA MAREHEMU
-
Baadhi ya Viongozi kutoka taasisi mbalimbali pamoja na waliowahi kushinda
taji la Miss Tanzania kwa nyakati tofauti na waombolezaji wakiwa wamewasili ...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment