Mkurugenzi Mtendaji wa Mradi wa Ujenzi wa Hoteli ya Kitalii katika Kijiji cha Matemwe Zanzibar Amber Resort Ndg. Saleh Mohammed Said, akitowa maelezo kwa Wajumbe wa Timu ya Mamlaka ya Uwezeshaji Miradi na Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) na Taasisi za Serikali iliotembelea Mradi huo kuona maendeleo yake katika Awamu ya kwanza na kuridhishwa hatua iliyofikia kwa kasi ya ujenzi huo, unaoendelea katika eneo hilo.

Wajumbe wa Mamlaka ya Uwezeshaji Miradi na Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) na Taasisi za Serikali wakiongozana na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe. Vuai Mwinyi Khamis wakitembelea Mradi wa Ujenzi wa Hoteli ya Kitalii katika Kijiji cha Matemwe Mkoa wa Kaskazini Unguja wakiangalia moja ya majengo ya mradi huo wakati wa ziara yao
MKURUGENZI UwezeshajiMiradiyaUwekezaji Zanzibar (ZIPA) Sharif Ali Sharif, akimfahamishajamboMkurugenziMt endajihoteliya Zanzibar Amber Resort, Saleh Mohamed Said, kuhusiananaujenziwahotelihiyou navyoendeleahukoMatemweMkoawaK askaziniUnguja
MKURUGENZI UwezeshajiMiradiyaUwekezaji Zanzibar (ZIPA) Sharif Ali Sharif (kushoto) akiongozananaMkuuwaMkoawaKaska ziniUnguja, VuaiMwinyi, kwendakuangalimaendeleoyaujenz iwahoteliya Zanzibar Amber Resort, katikakijiji cha Matemwe.
MKURUGENZI Mtendajihoteliya Zanzibar Amber Resort, Saleh Mohamed Said, akifahamishajamboMkuuwaMkoawaK askaziniUnguja, VuaiMwinyi, baadayakwendakuangaliamaendele oyaujenziwahoteliya Zanzibar Amber Resort yaMatemwe
Wajumbe wa Mamlaka ya Uwezeshaji Miradi na Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) na Taasisi za Serikali wakiongozana na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe. Vuai Mwinyi Khamis wakitembelea Mradi wa Ujenzi wa Hoteli ya Kitalii katika Kijiji cha Matemwe Mkoa wa Kaskazini Unguja wakiangalia moja ya majengo ya mradi huo wakati wa ziara yao
MKURUGENZI UwezeshajiMiradiyaUwekezaji Zanzibar (ZIPA) Sharif Ali Sharif, akimfahamishajamboMkurugenziMt
MKURUGENZI UwezeshajiMiradiyaUwekezaji Zanzibar (ZIPA) Sharif Ali Sharif (kushoto)
MKURUGENZI Mtendajihoteliya Zanzibar Amber Resort, Saleh Mohamed Said, akifahamishajamboMkuuwaMkoawaK
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Zanzibar Amber Resort Ndg. Saleh Mohammed Said , akizungumza na Ujumbe wa ZIPA wakati walipotembelea mradi huo kuona maendeleo ya ujenzi wa Hoteli hiyo inayojengwa katika eneo la Kijiji cha Matemwe Mkoa wa Kaskazini Unguja.
No comments:
Post a Comment