Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza na Waandishi wa
Habari katika ukumbi wa mikutano wa Wizara, jijini Dodoma, leo. Simbachawene
amesema Serikali imevunja Mkataba na Kampuni ya Rom Solutions ya Nchini Romania
ambao ulihusu ununuzi wa vifaa vya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kwa gharama ya Euro 408,416,288.16, ambazo ni sawa na
Shilingi Trilioni moja. Wapili kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo,
Christopher Kadio, na kulia ni Naibu Katibu Mkuu, Ramadhani Kailima.
Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (katikati), akimsikiliza
Mwandishi wa Habari wa gazeti la Habari leo, Mroki Mroki alipokuwa anamuuliza
swali katika Mkutano na Waandishi wa habari uliofanyika, ukumbi wa mikutano wa
Wizara, jijini Dodoma, leo. Simbachawene amesema Serikali imevunja Mkataba na
Kampuni ya Rom Solutions ya Nchini Romania ambao ulihusu ununuzi wa vifaa vya
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kwa gharama ya Euro
408,416,288.16, ambazo ni sawa na Shilingi Trilioni moja.
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
No comments:
Post a Comment