Habari za Punde

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Akabidhiwa Kitabu na Mbunge wa Zambia Anayeishi na Virusi Vya Ukimwi

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea kitabu kutoka kwa Mbunge wa Bunge la Zambaia, Mhe.  Princess Kasune  ambaye anishi na virusi vya UKIMWI baada ya Waziri Mkuu, kuzungumza wakati alipozindua kampeni ya kitaifa ya viongozi wa dini na bunge  katika kupunguza unyanyapaa dhidi ya UKIMWI kwenye ukumbi wa Msekwa, bungeni jijini Dodoma, Machi 10, 2020. Kitabu hicho kiitwacho Warrior Princess kimeandikwa na mbunge huyo  kwa lengo la kutoa  maarifa kuhusu kuishi kwa mtumaini.
 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.