Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya Corona COVID -19 kuchukua tahadhari za mara kwa mara kuosha mikono yetu kwa sabuni na maji yanayochurizika au kutumia Sanitaiza ili kujikinga na maambukizo hayo. Kama inavyoonekana Kijana huyu akiwa katika zoezi la kuosha mikono yake akiwa katika matembezi yake mtaa wa mji mkongwe eneo shangani katika moja ya maduka katika mtaa huo.
WIZARA FEDHA YAPOKEA TUZO MBILI ZA USHINDI SHEREHE ZA MEI MOSI
-
Katibu wa Hazina Sports Club, Bw.Kelvin Kakoko, akipokea tuzo ya ushindi wa
kwanza wa mchezo wa mpira wa miguu kutoka kwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu
Hassan, R...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment