Waziri
wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na
Wenye Ulemavu), Mhe. Jenista Mhagama akipokea hundi ya Sh. 100,000,000/=
kutoka kwa kampuni ya Everwell Cable
and Engineering Co. Ltd, ikiwa ni mchango kwa ajili
ya kuunga mkono juhudi za Serikali za mapambano dhidi ya ugonjwa wa homa kali
ya mapafu- COVID - 19. Makabidhiano hayo yamefanyika kwenye Ofisi ya Waziri
Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma
Waziri
wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani, akizungumza kwenye makabidhiano ya hundi ya Sh. 100,000,000/=
, ikiwa ni mchango kwa ajili ya kuunga mkono juhudi za Serikali za mapambano
dhidi ya ugonjwawa homa kali ya mapafu- COVID - 19. Makabidhiano hayo yamefanyika
kwenye Ofisi ya Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma
Waziri wa Nchi Ofisi ya
Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na Wenye Ulemavu), Mhe.
Jenista Mhagama akizungumza baada ya kupokea hundi ya Sh. 100,000,000/=, ikiwa
ni mchango kwa ajili ya kuunga mkono juhudi za Serikali za mapambano dhidi ya
ugonjwa wa homa kali ya mapafu- COVID - 19. Makabidhiano hayo yamefanyika
kwenye Ofisi ya Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma, Mei 13, 2020.
( Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment