Habari za Punde

Wakuu wa Takwimu Ka Nchi za SADC Wakutana Kwa Njia ya Video

Mtakwimu  Mkuu wa Serikali, Dkt. Albina Chuwa wa wajumbe kutoka NBS, akiongoza kikao cha Wakuu wa Takwimu kwa nchi wanachama wa Jumuiya Maendeleo ya nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), kilichojadili kuhusu itifaki ya takwimu za nchi hizo, kikao hicho kilifanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimtaifa Julius Nyerere, Jijini Dar es Salaam kwa njia ya video
Wajumbe wa Kikao cha Takwimu cha nchi za SADC  kutoka Tanzania wakiongozwa na Mtakwimu  Mkuu wa Serikali, Dkt. Albina Chuwa( wa kwanza kulia), wakiwa katika kikao hicho kilichofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimtaifa Julius Nyerere, Jijini Dar es Salaam kwa njia ya video

Mtakwimu  Mkuu wa Serikali, Dkt. Albina Chuwa, akizungumza jambo kwa wajumbe wa kikao cha Wakuu wa Takwimu kwa nchi za SADC (kama inavyoonekana kwenye picha) kilichofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimtaifa Julius Nyerere, Jijini Dar es Salaam kwa njia ya video leo Juni 12, 2020.

                                                               Picha na Paschal Dotto

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.