WANACHAMA wa CCM, Mkoa wa Kusini Unguja, wakimdhamini mgombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano Tanzania, kwa tiketi ya Chama hicho Dk. John Pombe Magufuli, hafla iliofanyika Dunga Wilaya ya kati Unguja.
MAOFISA wa Chama cha Mapinduzi CCM, Mkoa wa Kusini Unguja, wakijaza fumu za wadhamini wa mgombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano Tanzania, kwa tiketi ya Chama hicho Dk. John Pombe Magufuli, hafla iliofanyika ofisi za CCM Mkoa huko Dunga Wilaya ya kati Unguja.
No comments:
Post a Comment