Mchezaji wa Timu ya Machomane akijaribu kuzuiya mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika Uwanja wa Mao Zedong jana, huku mchezaji wa Timu ya Jangombe Boys akijiandaa kumzuiya. katika mchezo huo Timu ya Jangombe Boys imeshinda bao 3-1.
TANROADS YATEKELEZA AGIZO LA RAIS SAMIA KUTATUA CHANGAMOTO YA FOLENI
MBAGALA RANGI TATU
-
Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Dar es Salaam imetia saini
mkataba wa ujenzi wa barabara ya njia nne kutoka Mbagala Rangi Tatu hadi
Kon...
33 minutes ago
No comments:
Post a Comment