Habari za Punde

Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibare Kati ya Zimamoto na Mwenge Mchezo Uliofanyika Uwanja wa Mao Zedong Timu ya Zimamoto Imeshinda Bao.4-0.

Wachezaji wa Timu ya Zimanoto na Mwenge wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong Timu ya Zimamoto imeshinda mchezo huo bao 4-0.




No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.