Mradi wa Ujenzi wa barabara za ndani katika maeneo mbalimbali Zanzibar ukiendelea na ujenzi huo kuimarisha miundombinu ya barabara katika maeneo ya Jiji la Zanzibar, kama inavyoonekana pichani maandalizi ya ujenzi wa barabara ya ndani kutoka Sharifu msa kupitia mwanyanya ikiaza maandali ya ujenzi huo hadi kutokeo bububu skuli.
Kama inavyoonekana baadhi ya nyumba tayari zibomolewa sehemu iliokuwa imeingia katika eneo la kupita barabara hiyo.
No comments:
Post a Comment