Kizazaa katika goli la Timu ya Mlandege wakati wa mchezo wao wa Ligi uliofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong. Kizaazaa hicho kimeipatia bao Timu la Pili Timu ya Malindi. hadi mwisho wa mchezo huo Timu ya Mlandege imetoka na ushindi wa bao 3-2.
Miriam Odemba Awaalika Watanzania Kuchangia Ujenzi wa Vyoo kwa Ajili ya
Wanafunzi
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Miriam Odemba Foundation (MOF) ambaye pia ni
mwanamitindo nguli wa kimataifa, Miriam Odemba amesisitiza Watanzania
kuchangia fe...
18 minutes ago
No comments:
Post a Comment