Habari za Punde

Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibat Kati ya Mlandege na Malindi Mchezo Uliofanyika Uwanja wa Mao Zedong Timu ya Mlandege Imeshinda Bao 3-2

Kizazaa katika goli la Timu ya Mlandege wakati wa mchezo wao wa Ligi uliofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong. Kizaazaa hicho kimeipatia bao Timu la Pili Timu ya Malindi. hadi mwisho wa mchezo huo Timu ya Mlandege imetoka na ushindi wa bao 3-2.  
















No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.