Kizazaa katika goli la Timu ya Mlandege wakati wa mchezo wao wa Ligi uliofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong. Kizaazaa hicho kimeipatia bao Timu la Pili Timu ya Malindi. hadi mwisho wa mchezo huo Timu ya Mlandege imetoka na ushindi wa bao 3-2.
TIA YAANZISHA KAMPASI MPYA MKOANI TANGA
-
NA EMMANUEL MBATILO
TAASISI ya Uhasibu Tanzania (TIA) imeanzisha Kampasi mpya ya TIA mkoani
Tanga, ambayo inalenga kuhudumia wanafunzi kutoka kanda ya Kask...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment