Habari za Punde

Tangazo la ZECO kuhusu matengenezo ya laini ya Kilimahewa

SHIRIKA LA UMEME ZANZIBAR (ZECO)

TAARIFA YA MABORESHO YA UMEME LAINI YA KILIMAHEWA

Shirika la Umeme Zanzibar (zeco) linawataarifu wateja wake wa line ya KilimaHewa kuwa kutakua na maboresho ya line kubwa ya umeme kwa kubadilisha nguzo kama ifuatavyo:- 

Tarehe: 09/07/2020
 siku: Alkhamisi
 muda: saa 3:00 Asubuhi hadi saa 11:30 jioni

line: Line ya Kilima Hewa.

Sababu: matengenezo ya laini kubwa

Maeneo yatakayokosa umeme ni Maeneo ya Welezo, Amani viwanda vidogo vidogo, Kilimahewa, Ziwatuwe, Magogoni, Taveta na Tomondo.

Usisite kuwasiliana nasi huduma ya simu kwa wateja 0772877879 whatsapp 0772877879

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.