MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dr. Abdalla Juma Mabodi
alipowasili katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar,
kuongoza Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar,
kilichofanyika leo 15/8/2020.
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi, akisalimiana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Ndg, Vuai , alipowasili katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar,
kuongoza Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar,
kilichofanyika leo
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar pia ni Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa
na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, (kulia kwa Rais) Mjumbe wa
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa. Mhe. Samia Suluhu Hassan na Mjumbe wa Halmashauri
Kuu ya CCM Taifa.Mhe Balozi Seif Ali Iddi na (kushoto kwa Rais) Naibu Katibu
Mkuu wa CCM Zanzibar Dr. Abdalla Juma Mabodi, wakiwa wamesimama wakati wa
kuwasili katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar,
kuhudhuria Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar
kilichofanyika leo 15/8/2020, katika ukumbi huo
WAJUMBE wa Kikao cha Kamati Maalum ya
Halmashauri Kuu ya Taifa CCM Zanzibar, wakiwa wamesimama wakati Makamu
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,(hayupo
pichani) akiwasili katika ukumbi wa Kikao Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar.
NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dr. Abdalla
Juma Mabodi, akizungumza wakati wa Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu
ya CCM Zanzibar, kilichofanytika katika Ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui
Jijini Zanzibar,
NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dr. Abdalla
Juma Mabodi, akizungumza wakati wa Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu
ya CCM Zanzibar, kilichofanytika katika Ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui
Jijini Zanzibar, (kulia) Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe.Dk. Ali Mohamed
Shein, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa.Mhe Samia Suluhu Hassan na Mjumbe
wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe. Balozi Seif Ali Iddi.
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar pia ni Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akizungumza wakati akikifungua Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashari Kuu ya CCM
Zanzibar, kilichofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Zanzibar na
(kulia kwa Rais) Mjumbe wa Halmashauri
Kuu ya CCM Taifa Mhe. Samia Suluhu Hassan na (kushoto) Naibu Katibu Mkuu wa CCM
Zanzibar Dr. Abdalla Juma
WAJUMBE wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya
CCM Zanzibar, wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar pia ni Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo
pichani) akifungu Kikao hicho kilichofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM
Kisiwandui Jijini Zanzibar
WAJUMBE wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar, wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) akifungu Kikao hicho kilichofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini ZanzibarWAJUMBE wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar, wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) akifungu Kikao hicho kilichofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar
WAJUMBE wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar, wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) akifungu Kikao hicho kilichofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar
No comments:
Post a Comment