WAZIRI wa Fedha na
Mipango Zanzibar Balozi Mohammed Ramia Abdiwawa, akipata maelezo juu ya kifaa
maalumu kinachoonyesha uwepo wa mafuta ya majani ya Mkarafuu baada ya
kukamuliwa, kutoka kwa Katibu wa kikundi cha TUNAWEZA Suleiman Habibu Issa huko
Mgelema Wilaya ya Chake Chake, wakati ziara yake hivi karibuni
WAZIRI wa Fedha na
Mipango Zanzibar Balozi Mohamed Ramia Abdiwawa, akiangalia kinu maalumu
kinachokamulia majani makavu ya Mkarafuu huko Mgelema Wilaya ya Chake Chake.
WAZIRI wa Fedha na
Mipango Zanzibar Balozi Mohamed Ramia Abdiwawa, akimsikiliza kwa makini
Mdhamini wa ZSTC Pemba Abdalla Ali Ussi (katikati), wakati alipokuwa akitoa
maelezo juu ya ufanyaji kazi wakiwanda cha kukamulia majani makavu ya Mkarafuu
huko Mgelema Wilaya ya Chake Chake
WAZIRI wa Fedha na
Mipango Zanzibar Balozi Mohamed Ramia Abdiwawa, akiteremka kutoka juu ya
kiwanda cha kukamulia majani makavu ya Mkarafuu, baada ya kukagua kiwanda hicho
huko Mgelema Wilaya ya Chake Chake
WAZIRI wa Fedha na Mipango Zanzibar Balozi Mohamed Ramia
Abdiwawa, akimsikiliza Mdhamini wa ZSTC Pemba Abdalla Ali Ussi, juu ya uwepo wa
majani makavu ya mkarafuu yanayokamuliwa mafuta huko Mgelema Wilaya ya Chake
Chake.
(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment