Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano), Dkt. Zainabu Chaula (wa kwanza
kulia), akikata utepe kuzindua mnara wa mawasiliano wa Igando Mkoani Geita. wa kwanza kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Geita,
Mhandisi Charles Kabeho na wa pili kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano
Tanzania, Waziri Kindamba.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano), Dkt. Zainabu Chaula akimsikiliza kwa makini Meneja Mipango Mtandao wa Shirika
la Mawasiliano Tanzania, Mhandisi Innocent
Msasi akitoa maelezo kuhusu mnara wa mawasiliano wa Naybilezi,
Geita baada ya kuzinduliwa rasmi na Katibu Mkuu huyo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano), Dkt.
Zainabu Chaula akimsikiliza Katibu Tawala wa Mkoa wa Chato, Denis Bandisa baada ya kuzindua mnara wa mawasiliano wa Igando Mkoani humo.
Anayesikiliza kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Chato, Mhandisi Charles Kabeho
Na Prisca Ulomi, WUUM, Chato
KatibuMkuuwaWizarayaUjenzi,
UchukuzinaMawasiliano (SektayaMawasiliano),
Dkt.ZainabuChaulaamezinduaminaramiwiliyamawasilianoiliyopokwenyekijiiji cha
NyabilezinaIgandovilivyopowilayaniChatomkoaniGeitailikuwawezeshawananchikupatahuduma
za mawasiliano
Dkt.
Chaulaamesemakuwaujenziwaminarahiyoumefanyikakwenyevijijihivyobaadayawananchikuombahuduma
za mawasilianonaSerikalikujiridhishakuwamawasilianohayapokwenyemaeneohayonakuamuakujengaminarahiyokwakutumiaruzukuyaSerikalikupitiaMfukowaMawasilianokwaWote
(UCSAF) ambapoujenzi wake umegharimuzaidiyashilingimilionimiatano
Ameongezakuwalengo la
Serikalinikuhakikishakuwawananchiwanapatahuduma za
mawasilianokwakuwamawasilianoniuchuminaSerikaliimefanyauwekezajimkubwakwakujengaMkongowaTaifawaMawasilianoambao
nisawanabarabarakuukwaajiliyakupitishayauhakikanakwawakatiambapominarahiyoimeunganishwakwenyeMkongohuoilikuwezakuwapatiawananchihuduma
NayeKatibuTawalawaMkoamwaGeita,
Denis
Bandesiamesemakuwamiundombinuyamawasilianoambayoimewekwakwenyemaeneohayoitawasaidiawananchikufanyamawasilianonakuendeshabiasharazaoilikuhakikishakuwauchumiwakatiunamgusamwananchi
pale
alipokwamaanauzalishajiatakaokuwaameufanyaatakuwanauhakikawapiapelekebiasharayakekwamaanayauhakikawabeinzurimahalisokolililopo
MkurugenziMkuuwaShirika la
Mawasiliano Tanzania (TTCL), Waziri Kindambaamewatakawananchikuchangamkiafursayakuwamawakalawahuduma
za mawasilianowaShirikahilokwakuwa TTCL inatoakamishenimarambiliyakampuninyingine
za mawasilianonafedhainayopatikanainarudiSerikalininaameombawananchiwailindemiundombinuhiyokwakuwaimetumiafedha
za Serikalikujengwanaikiharibikawananchiwatakosamawasiliano
MkuuwaWilayayaGeita, Mhandisi
Charles
Kabehoameahidikuwaatahakikishamiundombinuhiyoinalindwailiwananchiwanufaikenahuduma
za mawasilianokwakuwahapoawalihapakuwanahuduma za mawasilianoilakwasasamtandaowa
TTCL ukovizurinawananchiwanawezakupigasimundaninanjeya Tanzania
MtendajiMkuuwaMfukowaMawasilianokwaWote
(UCSAF), Justina Mashibaamesemakuwa UCSAF inajukumu la
kupelekamawasilianovijijiniambapompakasasa UCSAFinamiradiyaujenziwaminarayamawasilianosehemumbalimbalinchinikwenye
kata 998 ambapohadisasaujenziumekamilikakwenye kata 903
ambapozaidiyawananchiwapataomilionitanowanapatahuduma za mawasiliano
ImetolewanaKitengo
cha MawasilianoSerikalini,
No comments:
Post a Comment