wanamziki mahili mpiga gitaa Mzee Saidi Mabera amefariki dunia usiku wa jana kuamkia leo 29/09/2020 ,Saidi Mabera alikuwa mwanamuziki wa bendi kongwe barani afrika Msondo Ngoma Music band yenye makao yake nchi Tanzania,marehemu alijiunga na bendi hiyo mwaka 1973 na ajawahi kuhama ndiye mwanamziki pekee mkongwe nchini tanzania aliyeweka rekodi ya kutulia katika bendi moja bila kuhama,marehemu Saidi Mabera atakumbukwa daima katika mchango wake kimuziki na ustadi wake wa upigaji wa gitaa la solo.Mungu amlaze mahala pema pema peponi
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment