MGOMBEA urais Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif, amefika katika kituo cha Garagara, Jimbo la Mwera, na kupiga kura mapema leo Jumatano, Oktoba 28, 2020.
Mgombea Urais kwa tioketi ya ACT- Wazalendo Maalim Seif Sharif Hamad akiongea na waandishi wa habari baada ya kumaliza kupiga kura yake leo ambapo amesema ametiwa moyo na watu wengi kujitokeza katika vituo vya kupigia kura ila amegundua wananchi wengi wana malalamiko ya kutokuona majina yao kwenye vituo walivyojiandikisha.
No comments:
Post a Comment