MAKAMU
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe DK.Ali Mohamed Shein, akihutubia katika
mkutano wa kampeni ya CCM ya Mgombea Urais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali
Hassan Mwinyi uliofanyika katika uwanja Skuli ya Micheweni Pemba na kumuombea
Kura Mgombea Urais wa Zanzibar na Wagombea wote wa CCM.
MAKAMU
Mwenyekiti wa CCM Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Ali Mohamed Shein, akiwatambulisha Wagombea
Ubunge,Uwakilishi na Madiwani wa CCM wa Wilaya Micheweni katika mkutano wa
kampeni ya CCM uliofanyika katika uwanja wa
Skuli ya Michewni Mkoa wa Kaskazini Pemba.
MGOMEA
Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Hassan
Mwinyi, akiwahutubia Wananchi wa Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba
katika mkutano wake wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Skuli ya
Sekondari Micheweni Pemba na kuwaomba kura na kumuombea kura Mgombea Urais wa
Tanzania Mhe.Dkt. John Magufuli na kuwaombea kura Wabunge, Wawakilishi na
Madiwani wa CCM.
UMATI wa Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Micheweni wakifuatilia mkutano wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar kwa kupitia CCM Mhe.Dk Hussein Ali Hassan Mwinyi, uliofanyika katika Uwanja wa Micheweni Pemba leo.
NAIBU
Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dr. Abdalla Juma Mabodi akizungumza wakati wa
mkutano wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar uliofanyika katika viwanja vya
micheweni Wilaya ya Michewni Pemba.
MGOMBEA
Uwakilishi kupitia Chama Cha Mapinduzi Jimbo la Micheweni Ndg.Shamata Shaame
Khamis, akizungumza kwa niaba ya Wagombea Uwawakilishi, Ubunge na Udiwani wa
CCM wa Wilaya ya Micheweni Pemba, uliofanyika uwanja wa micheweni.
MWANACHAMA
wa Chama Cha Mapinduzi Kisiwani Pemba kutoka Kijiji cha Kizimbani Ndg.Suleiman
Abdall Ali, akimshangilia Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM Mhe.Dk.
Hussein Mwinyi , akiwahutubia Wananchi wa Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini
Pemba katika mkutano wake wa kampeni uliofanyika katika Uwanja wa Skuli ya
Sekondari Micheweni leo 15/10/2020
WANACHAMA
wa CCM Wilaya ya Michewwni Pemba wakishangilia katika mkutano wa kampeni wa
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM Mhe.Dk. Hussein Mwinyi (hayupo
pichani) uliofanyika katika viwanja vya Skuli ya Sekondari Micheweni Pemba leo.
MWANACHAMA
wa Chama Cha Mapinduzi akimshangilia
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM Mhe. Dk. Hussein Mwinyi wakati
akihutubia katika mkutano wake wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Skuli
ya Sekondari Micheweni leo
WAGOMBEA
wa Nafasi za Ubunge na Uwakilishi wa Wilaya ya Micheweni Pemba wakishangilia
wakati wa mkutano wa kampeni ya CCM uliofanyika katika viwanja vya Skuli ya
Sekondari Micheweni Pemba.
UMATI
wa Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Micheweni wakifuatilia mkutano wa
Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar kwa kupitia CCM Mhe.Dk Hussein Ali Hassan
Mwinyi, uliofanyika katika Uwanja wa Micheweni Pemba leo 15/10/2020.
No comments:
Post a Comment