Habari za Punde

Ufunguzi wa Chuo cha Amali Dayamtambwe Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba leo 15/10/2020.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akitembelea majengo mapya ya Chuo Cha Amali Day Mtambwe Wilaya ya Wete Pemba na (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi na Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Dkt.Eng. Idriss Muslim Hija na (kushoto kwa Rais) Waziri  wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Riziki Pembe Juma, hafla hiyo ya ufunguzi imefanyika katika chuo hicho Daya Mtambwe Pemba.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiondoa kitamba akiweka Jiwe la Msingi la Ufunguzi wa Chuo Cha Amali Dayamtambwe na (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi na (kushoto kwa Rais) Waziri  wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Riziki Pembe Juma,hafla hiyo imefanyika leo.katika viwanja vya Chuo hicho leo 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akisoma Jiwe la Msingi la Ufunguzi wa Chuo Cha Amali Dayamtambwe Wilaya ya Wete na (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Riziki Pembe Juma, hafla hiyo imefanyika leo. 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akitembelea Majengo ya Chuo cha Amali Dayamtambwe Wilaya ya Wete Pemba akipata maelezo kutoka kwa Mshauri Elekezi wa Chuo Cha Amali Dayamtambwe.Eng. Mansoor Mohammed Kassim, wakati akitembelea majengo hayo baada ya kuyafungua leo 15/10/2020. Wilaya ya Wete Pemba
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akipata maelezo ya Boti ya Kisasa itakayotumika kwa mafunzo kwa Wanafunzi watakaojiunga na Chuo hicho,kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Mafunzo ya Amali Zanzibar Ndg.Bakari Ali Silima (mwenye kipaza sauti) wakati akitembelea darasa la masna (kulia kwa Rais) Waziri ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe.Riziki Pembe Juma.
KATIBU Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Dkt.Eng. Idriss Muslim Hija akitowa maelezo ya Kitaalum ya Mradi wa Ujenzi wa Vyuo Vya Amali vya Dayamtambwe Wilaya ya Wete Pemba  na cha Makunduchi Wilaya ya Kusiniu Unguja ufunguzi huo umefanyika katika vya Chuo cha Amali Dayamtambwe leo. 
WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Riziki Pembe Juma akizungumza wakati wa hafkla ya ufunguzi wa Vyuo vya Amali vya Dayamtambwe Wilaya ya Wete Pemba na Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja ufunguzi huo umefanywa kwa pamoja leo katika Chuo cha Amali Dayamtambwe Wete Pemba na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani).
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akiwahutubia Wananchi katika viwanja vya Dayamtambwe Wilaya ya Wete Pemba wakati wa hafla ya Ufunguzi wa Vyuo vya Amali vya Dayamtambwe Wilaya ya Wete na cha Makunduchi Kisongo Wilaya ya Kusini Unguja, uliofanyika leo katika viwanja vya Dayamtambe  Mkoa wa Kaskazini Pemba.
BAADHI ya Walimu na Wafanyakazi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar wakifuatilia hafla ya ufunguzi wa Chuo cha Amali Dayamtambwe Wilaya ya Chake chake Pemba na Chuo cha Amali cha Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Chuo. 
BAADHI ya Wanafunzi na Wananchi wa Dayamtambwe Wilaya ya Wete Pemba wakifuatilia hafla ya Ufunguzi wa Chuo Cha Amali Daya yamtambwe, uliofanyika katika viwanja vya mpira Dayamtambwe Wilaya ya Wete Pemba
WANANCHI wa Dayamtambwe wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya ufunguzi wa Chuo cha Amali cha Dayamtambwe Wilaya ya Wete Pemba  leo 15/10/2020

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.