Habari za Punde

Mkutano wa Uwasilishaji wa Mswaada wa Sheria Jumuiya Zisizi za Kiserikali Pemba.

MRAJIS wa NGOs Zanzibar Ndg.Ahmed Khalid Abdalla, akizungumza katika mkutano wa uwasilishwaji wa rasimu ya Mswaada wa sheria ya Jumuiya zisizo za kiserikali, uwasilishaji huo uliofanyika katika ukumbi wa baraza la mji Chake Chake, chini ya usimamizi wa mtandao wa asasi za kiraia Pemba (PASCO).
MMOJA wa wana NGOs Mkoa wa Kusini Pemba Safia Saleh Sultani, akiwasilisha mawazo ya kundi lake katika mkutano wa kupitia rasimu ya Mswaada wa sheria ya Jumuiya zisizo za kiserikali, uwasilishaji huo uliofanyika katika ukumbi wa baraza la mji Chake Chake, chini ya usimamizi wa mtandao wa asasi za kiraia Pemba (PASCO)
WASHIRIKI wa mkutano wa kupitia wa uwasilishwaji rasimu ya Mswaada wa sheria ya Jumuiya zisizo za kiserikali, wakimsikiliza mrajisi wa NGOs Zanzibar wakati wa uwasilishaji rasimu hiyo, huko katika ukumbi wa baraza la mji Chake Chake, chini ya usimamizi wa mtandao wa asasi za kiraia Pemba (PASCO).

BAADHI ya wanaasasi za kiraia Mkoa wa Kuisni Pemba, wakipitia uwasilishwaji wa rasimu ya Mswaada wa sheria ya Jumuiya zisizo za kiserikali, uwasilishaji huo uliofanyika katika ukumbi wa baraza la mji Chake Chake, chini ya usimamizi wa mtandao wa asasi za kiraia Pemba (PASCO).(Picha na Abdi Suleiman - PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.