Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi Amefanya Ziara ya Kushtukiza Hospitali ya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar leo 18/11/2020.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwasili katika viwanja vya Hospitali Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar  akiwa katika ziara yake ya kushtukiza leo 18/11/2020, kuangalia hali halisi ya Hospitali hiyo na (kulia kwa Rais) Dk. Khamis Mustafa
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Uongozi wa Hospitali ya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar alipofanya ziara ya kustukiza leo , kujionea hali halisi ya utendaji kazi  katika hospitali hiyo. (kushoto kwa Rais) Mkurugenzi Uunguzi Hospitali ya Mnazi Mmoja Ndg. Haji Nyonje na (kulia kwa Rais) Dk. Khamis Mustafa, wakati akitembelea sehemu ya mapokezi ya Wagonjwa katika Hospitali hiyo leo 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi  akimsikiliza Mkurugenzi  Huduma Ufundi wa Hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar  Eng.Mathna Kassim, alipotembelea chumba cha MRI
  katika hospitali hiyo wakati alipofanya ziara ya kushtukiza leo mchana 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi  akimpa pole mmoja wa wagonjwa waliolazwa katika Wodi ya Wagonjwa wa ajali katika Hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar Ndg. Nassopr Mohammed Khatib alipotembelea wodiu hiyo wakati wa ziara yake katika hospitali hiyo leo 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi  akimpa pole mmoja wa wagonjwa waliolazwa katika Wodi ya Wagonjwa wa ajali katika Hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar Ndg. Nassopr Mohammed Khatib alipotembelea wodiu hiyo wakati wa ziara yake katika hospitali hiyo leo 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi  akizungumza na Wauguzi na Madaktari wa Wodi ya Wagonjwa wa mifupa katika Hospitali ya Mnazi Mmoja leo alipofanya ziara ya kustukiza.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Daktari wa Macho katika hospitali ya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar Dk. Slim Mgeni akitowa maelezo wakati wa ziara yake alipotembelea Kitengo cha Macho katika Hospitali hiyo leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali  Mwinyi akizungumza na Uongozi wa Hospitali ya Mnazi Mmoja na Wananchi alipofanya ziara yac kustukiza leo mchana kujionea hali halisi ya Hospitali hiyo.
WAANDISHI wa Habari wa Vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wananchi na Uongozi wa Wizara ya Afya Zanzibar baada ya kumaliza ziara yake ya kustukiza leo 18/11/2020

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.