RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akiwasalimia Wafanyakazi wa Bandari ya Malindi Jijini Zanzibar alipofanya ziara
ya kustukiza katika Bandari ya Zanzibar leo mchana
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akiwa katika ziara yake kutembelea Bandari Kuu ya Malindi leo akiwa katika
ziara yale leo 3/11/2020 na (kulia kwa Rais) Mdhiniti wa Bandari ya Malindi
Jijini Zanzibar Ndg Majaliwa Abdalla Rashid
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduziu Mhe.Dk. Hussein Ali
Mwinyi akimsikiliza Mdhibiti wa Bandari
ya Malindi Jijini Zanzibar Ndg. Majaliwa Abdalla Rashid alipofanya ziara
kutembelea Bandari hiyo leo 3/11/2020, kujionea utendaji kazi wa Shirika la
Bandari Zanzibar
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Kaimu Mkurugenzi Uendeshaji Ndg.
Juma Sururu akitowa maelezo wakati wa ziara ya Mhe. Rais alipotembelea Bandari
ya Zanzibar leo 3/11/2020
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akimsikiliza Kaimu Mkurugenzi Uendeshaji wa Shirika la Bandari Zanzibar Ndg. Juma
Sururu Juma , wakati akitembelea Bandari ya Zanzibar Malindi leo alipofanya
ziara kutembelea Bandari hiyo
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na
Uongozi wa Shirika la Bandari Zanzibar alipofanya ziara yake leo 3/11/2020,
kutembelea bandari hiyo kujionea utendaji kazi wa Bandari ,aloshika kipaza
sauti Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bandari Zanzibar Ndg. Ali Haji Haji.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akizungumza na Uongozi wa Shirika la Bandari Zanzibar alipofanya ziara
kutembelea eneo la ujenzi wa Bandari ya Kisasa Mpigaduri Maruhubi Jijini
Zanzibar leo
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akizungumza na Uongozi wa Shirika la Bandari Zanzibar alipofanya ziara
kutembelea eneo la ujenzi wa Bandari ya Kisasa Mpigaduri Maruhubi Jijini
Zanzibar leo 3/11/2020.
No comments:
Post a Comment