Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akizungumza na Ujumbe wa Shirika la Refocus Afrika uliofika Ikulu Jijini Zanzibar leo ambapo mazungumzo hayo yamegusia zaidi kuhusu masuala mbali mbali ya michezo,Filamu na Muziki hapa Zanzibar.[Picha na Ikulu].18/11/2020.
Waziri Kikwete aipa tano Ofisi ya Msajili wa Hazina
-
Dar es Salaam. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na
Watu wenye Ulemavu), Mhe. Ridhiwani Kikwete, ameipongeza Ofisi ya Msajili
wa Haz...
34 minutes ago
No comments:
Post a Comment