Katibu Mkuu Kiongozi
Balozi John Kijazi akisoma majina ya Mawaziri pamoja na Manaibu Mawaziri
walioteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John
Pombe Magufuli leo tarehe 05 Desemba, 2020 Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma. PICHA
NA IKULU
Rais Magufuli pia amewateua kuwa Wabunge Dkt. Dorothy Gwajima(Alikuwa Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI - Afya) na Dkt. Leonard Chamuliho (alikuwa Katibu Mkuu Uchukuzi).
Pia Rais Magufuli ameunda Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari.
Orodha ya Mawaziri kama ilivyotangazwa na Katibu Mkuu Kiongozi.
1. Wizara ya Maji - Juma Aweso
2. Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo - Innocent Bashungwa
3. Wizara ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Vijana na wenye ulemavu - Jenister Mhagama
4. Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto - Dkt. Doroth Gwajima
5. Wizara ya Uwekezaji ofisi ya Rais - Profesa Mkumbo Kitila
6. Wizara ya Katiba na Sheria - Dkt. Mwigulu Nchemba
7. Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia - Profesa Joyce Ndalichako
8. Wizara ya Mifugo na Uvuvi -Mashimba Mashauri Ndaki
9. Wizara ya Maliasili na Utalii - Dkt. Ndumbalo Damas
10. Ofisi ya Rais TAMISEMI -Suleiman Jaffo
11. Wizara ya Madini - Dotto Biteko
12. Wizara ya Nishati - Dkt. Medard Kalemani
13. Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi - Mhandisi Dkt Leonard Chamuliho
14. Wizara ya Kilimo - Profesa Adolph Mkenda.
15. Wizara Viwanda na Biashara - Mwambie Geofrey Idelphonce
16.Wizara ya Mambo ya Ndani - George Simbachawene
17. Wizara ya Muungano na Mazingira - Ummy Mwalimu
18. Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya habari - Dkt Faustine Ndugulile
19. Wizara ya Fedha na Mipango - Dkt. Philip Mpango
20.Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki - Profesa Paramagamba Kabudi
21. Wizara ya Ardhi na Makazi -William Lukuvi
22. Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa - Elias John Kwandikwa
23. Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora - Capt Mstaafu George Mkuchika
Manaibu Waziri
1.Viwanda na Biashara - Kigahe Exaud Silaoneka
2.Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi - Dkt.Angelina Mabula
3.Ofisi ya Waziri Mkuu, kazi, Vijana na Ajira - Katambi Pascal Patrobas
4.Mambo ya ndani ya nchi - Hamis Hamza Hamis
5.Fedha na Mipango - Mwanaidi Ali Hamis
6.Elimu Sayansi na Teknolojia - Kipanga Juma Omary
7.Ofisi ya Rais TAMISEMI - Dkt Festo John Lugange
8.Nishati - Byabato Stephen Mjwahuka
9.Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala bora - Ndejembi Deogratias John
10.Mawasiliano na Telnolojia ya habari - Mhandisi Kundo Andrea Mathew
11.Mifugo na Uvuvi - Gekul Pauline Philipo
12.Madini - Ndulane Francis Kumba
13.Ujenzi - Mhandisi Msongwe Godfrey Kasekenya
14.Ofisi ya Waziri mkuu wenye Ulemavu - Ummy Hamis Nderiananga
15.Maji - Mhandisi Maryprisca Wilfred Mahundi
16..Habari, Umaduni,Sanaa na Michezo - Abdalah Ulega
17.TAMISEMI - Silinde David Ernest
18.Kilimo - Husein M.Bashe
19.Afya, Maendeleo ya Jamii Jinsia, wazee na watoto - Dkt Godwin Molel
20.Katiba na Sheria - Pinda Geofrey Mizengo
21.Muungano na Mazingira - Mwita Waitara
22.Mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki- William Tate Ole Masha
23.Maliasili na Utalii - Mary Francis Masanja
No comments:
Post a Comment