Habari za Punde

Wabunge, Wawakilishi waanza kutekeleza ahadi walizozitoa kisiwani Pemba

MWAKILISHI wa Jimbo la Wawi Wilaya ya Chake Chake Bakar Hamad Bakar wa kwanza kushoto, akimkabidhi mshikafedha wa kikundi cha nguvu Haichezewi kilichopo Mvumoni Furaa, Sharifa Khatib na Mwenyekiti wake Omar Said, fedha taslim shilingi laki mbili (200,000)pamoja na vifaa mbali mbali vya vyenye thamani ya shilingi Milioni 2.9 ikiwa ni utekelezaji wa ahadi walioitoa kwa kikundi hicho.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MBUNGE wa Jimbo la Kojani Hamad Hassan Chande kulia, akimkabidhi fedha mmoja ya wananchi wa kijiji cha Chukwani shehia ya kiuyu Kigongoni Yussuf Faki Hamad, ambaye nyumbake ilipata hitilafu ya kuungua moto.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MBUNGE wa Jimbo la Kojani Hamad Hassan Chande kushoto akimkabidhi bati mmoja ya mwananchi wa shehia ya Kiuyu Kigongoni Tamimu Ali Omar, ambaye nyumba yake ilipata mtihani hivi karibuni.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.