MJUMBE wa Bodi wa shirika lisilo la kiserikali
Zanzibar SOS Dk.Issa Seif Salim, akimkabidhi saruji mmoja ya walengwa wa mpango
wa kuimarisha familia kutoka shehia ya Tumbe, kwa ajili ya ujnezi wa nyumba ya
makaazi.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
MJUMBE wa Bodi wa shirika lisilo la kiserikali
Zanzibar SOS Dk.Issa Seif Salim, akimkabidhi Bati mmoja ya walengwa wa mpango
wakuimarisha familia, kwa niaba ya walengwa wenzake hafla hafla iliyofanyika
Tumbe.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
BAADHI ya walengwa wa mpango wa kuimarisha familia
kutoka Tumbe, wakiwa katika picha ya pamoja na watendaji kutoka SOS, wakisubiri
kupatiwa saruji na bati.(PICHA NA ABDI
SULEIMAN,PEMBA)
No comments:
Post a Comment