Habari za Punde

Makamu wa Rais Mhe. Samia afika kuhani kwenye msiba wa Rosemary Nyerere

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akitia saini kitabu cha kumbukumbu kufuatia kifo cha Bibi Rosemary Octovian Nyerere, alipofika Nyumbani kwa Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Nyerere Msasani Jijini Dar es salaam leo Januari 03,2021 kwa ajili ya kuhani msiba. Marehemu Bibi Rosemary Nyerere amefariki Dunia Januari 01,2021 Jijini Dar es salaam alipokuwa amelazwa kwa matibabu. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwafariji Watoto na Wanafamilia ya Baba wa Taifa kufuatia kifo cha Bibi Rosemary Octovian Nyerere, alipofika Nyumbani kwa Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Nyerere Msasani Jijini Dar es salaam leo Januari 03,2021 kwa ajili ya kuhani msiba wa Marehemu Bibi Rosemary Nyerere aliyefariki Dunia Januari 01,2021 Jijini Dar es salaam alipokuwa amelazwa kwa matibabu.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwafariji Watoto na Wanafamilia ya Baba wa Taifa kufuatia kifo cha Bibi Rosemary Octovian Nyerere, alipofika Nyumbani kwa Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Nyerere Msasani Jijini Dar es salaam leo Januari 03,2021 kwa ajili ya kuhani msiba wa Marehemu Bibi Rosemary Nyerere aliyefariki Dunia Januari 01,2021 Jijini Dar es salaam alipokuwa amelazwa kwa matibabu.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.