Habari za Punde

Michuano ya Kombe la Mapinduzi Cup Kati ya Simba na Mtibwa Mchezo Uliofanyika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar Timu ya Simba Imeshinda Mchezo huo 2-0.


Wachezaji wa Timu ya Simba na Mtibwa wakiwa katika Uwanja wa Amaan wakisubiri kusalimiana na mgeni rasmin Waziri wa Mawasiliani Usafirishaji na Uchukuzi Mhe.Rahma Kassim Ali (hayupo pichani) wakati wa Michuano ya Kombe la Mapinduzi inayofanyika katika Uwanja wa Amaa Jijini Zanzibar.

Mchezaji wa Timu ya Simba Mzamiru Yassin akijiandaa kuzuiya mpira huku mchezaji wa Mtibwa Ali Makarani akijiandaa kumzuia wakati wa mchezo wao wa Michuano ya Kombe la Mapinduzi uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar Timu ya Simba imeshinda bao 2-0.

MCHEZAJI wa Timu ya Simba Miraji Othman akimpita mchezaji wa Timu ya Mtibwa Goerg William wakati wa mchezo wao wa Michuano ya Kombe la Mapinduzi Cup mchezo uliofanyika usiku wa Amaan Timu ya Simba imeshinda mchezo huo bao 2-0.

MCHEZAJI WA Timu ya Simba Mohammded Hussein Shabalala akiondoa mpira golini kwake huku wachezaji wa Mtibwa wakijiandaa kumzuiya, wakati wa mchezo wa Kombe la Mapinduzi uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Timu ya Simba imeshinda mchezo huo kwa bao 2-0.

Wachezaji wa Timu ya Simba wakishangilia bao lao la Pili lililofungwa na mchezaji Miraji Othman katika kipindi cha kwanza cha mchezo huo, wa Michuano ya Kombe la Mapinduzi.

MCHEZAJI wa Timu ya Simba na Mtibwa wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Kombe la Mapinduzi Cup mchezo uliofanyika usiku katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar Timu ya Simba imeshinda mchezo huo bao 2-0.

BEKI wa Timu ya Simba Mohammed Hussein Shabalala akimpita mchezaji wa Timu ya Mtibwa Goerg William wakati wa mchezo wao wa Michuano ya Kombe la Mapinduzi Cup uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar Timu ya Simba imeshinda mchezo huo kwa bao 2-0.

MCHEZAJI wa Timu ya Simba na Mtibwa wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Kombe la Mapinduzi Cup mchezo uliofanyika usiku katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar Timu ya Simba imeshinda mchezo huo bao 2-0.

Wageni kutoka nje ya Tanzania wakifuatilia Michuano ya Kombe la Mapinduzi Cup wakati wa mchezo wa Timu ya Simba na Mtobwa uliofanyika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar.Timu ya Simba imeshinda mchezo huo kwa bao 2-0.





 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.