Mkurugenzi wa Masoko wa Shirika la Bima la Taifa Tanzania Ndg.Yessaya Mwakifulefule akimkabidhi zawadi Mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup Mchezaji wa Timu ya Simba Francis Kahata baada ya kuibuka mchezaji bora wa mchezo huo uliofanyika jana usiku. katika uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar.
Mkurugenzi wa Masoko wa Shirika la Bima la Taifa Tanzania Ndg.Yessaya Mwakifulefule akimpongeza Mchezaji wa Timu ya Simba Francis Kahata baada ya kumkabidhi zawadi yake ya fedha taslim zilizotolewa na Shirika la Bima la Taifa Tanzania kwa Mchezaji atakayechaguliwa na Jopo la Makocha kuwa Mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup Zanzibar.
Kituo cha sheria cha ELAF: Tuelimishe amani, siyo vurugu za uchaguzi
-
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
Kuelekea uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika
Oktoba 29 mwaka huu, Kituo cha Sheria cha Ever...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment