Mkurugenzi wa Masoko wa Shirika la Bima la Taifa Tanzania Ndg.Yessaya Mwakifulefule akimkabidhi zawadi Mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup Mchezaji wa Timu ya Simba Francis Kahata baada ya kuibuka mchezaji bora wa mchezo huo uliofanyika jana usiku. katika uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar.
Mkurugenzi wa Masoko wa Shirika la Bima la Taifa Tanzania Ndg.Yessaya Mwakifulefule akimpongeza Mchezaji wa Timu ya Simba Francis Kahata baada ya kumkabidhi zawadi yake ya fedha taslim zilizotolewa na Shirika la Bima la Taifa Tanzania kwa Mchezaji atakayechaguliwa na Jopo la Makocha kuwa Mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup Zanzibar.
RUVUMA:JESHI LA POLISI WAMTIA MBARONI WIZI WA VIFAA NDANI YA MAGARINI HALFA
MINJA MKAZI WA SANAWALI JIJI LA ARUSHA
-
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma Kamishina msaidizi Mwandamizi
Marco Chilya,akionyesha baadhi ya kompyuta Mpakato(Laptop)zilizokamatwa na
Polisi k...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment