Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi Amewataka Wananchi Kuendeleza Umoja na Mshikamano Nchini

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Kiongozi wa Masjid Rahman Kijiji Sheikh Yahya Hassan alipowasili katika viwanja vya Masjid hiyo kwa ajili ya Sala ya Ijumaa iliofanyika leo 22-1-2021

Khatibu akitowa hutuba ya Ijumaa kwa Waumini wa Dini ya Kiislam wakati wa Ibada hiyo iliofanyika katika Masjid Rahman Kijichji Wilaya ya Magharibi "B" Unguja, leo na Kuwaasi Waumini kutekelea Maamrisho ya Mtume wetu Muhammad (SAW) katika Sala hiyo pia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Waumini katika Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid hiyo leo.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia  Waumini wa Kiislam baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Rahman Kijichi Wilaya ya Magharibi “B” Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi (kulia kwa Rais) baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Rahman Kijichi Wilaya ya Magharibi “B” Unguja. 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na  kuagana  na Waumini wa Kiislam baada ya kumalizika kwa Sala ya iliofanyika katika Masjid Rahman Kijichi Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na  kuagana  na Waumini wa Kiislam baada ya kumalizika kwa Sala ya iliofanyika katika Masjid Rahman Kijichi Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 22-1-2021.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.