Habari za Punde

Makabidhiano ya ofisi Rais Fedha na Mipango Pemba

BAADHI ya wakuu wa vitengo na wafanyakazi wa Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Pemba, wakifuatilia hafla ya makabidhiano ya Ofis, kutoka kwa aliyekuwa afisa mdhamini Ofisi hiyo Ibrahim Saleh Juma, kwenda kwa afisa Mdhamini Mpya wa Ofisi hiyo Abdulwahab Said Abubakar, hafla  iliyofanyika katika ukumbi wa Wizara hiyo Gombani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

AFISA mdhamini Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi Pemba Ibrahim Saleh Juma, akizungmza katika hafla ya kukabidhi ofisi Rais Fedha na Mipango Pemba kwa mdhamini mpya wa Wizara hiyo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

AFISA Mdhamini wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi Pemba Ibrahim Saleh Juma (kushoto), akimakibidhi Ripoti ya utekelezaji wa Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Pemba, kwa afisa Mdhamini wa Ofisi hiyo Abdulwahab Said Abubakar (kulia)hafla ya makabidhiano ya Wizara hiyo yamefanyika Gombani Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

AFISA Mdhamini wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi Pemba Ibrahim Saleh Juma (kushoto), akimakibidhi katiba ya Zanzibar kwa afisa Mdhamini wa Ofisi hiyo Abdulwahab Said Abubakar (kulia)hafla ya makabidhiano ya Wizara hiyo yamefanyika Gombani Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)


AFISA Mdhamini Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Pemba, Abdulwahab Said Abubakar akizungumza na wafanyakazi na watendaji wa Ofisi yake, mara baada ya kukabidhia Wizara hiyo kutoka kwa mtangulia wake, hafla ya makabidhiano ya Wizara hiyo yamefanyika Gombani Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.