RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi akitowa mkono wa pole kwa familia ya aliyekuwa
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, nyumbani kwao
kuifariji familia kabla ya kufanyika kwa mazishi katika Kijiji cha Nyali
Mtambwe Wilaya ya Wete Pemba leo 18-2-2021
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Katibu wa
Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khalid Ali Mfaume (kushoto kwa Rais) wakati
alipofika nyumbani kwa marehemu kutowa mkono wa pole kwa familia, kabla ya
kuaza kwa mazishi ya aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif
Sharif Hamad yaliofanyika Kijijini kwao Nyali Mtambwe Wilaya ya Wete Pemba na
(kulia kwa Rais) Mkuu wa Wilaya ya Micheweni Pemba) CDR.Mohammed Mussa Seif na
Katibu wa Rais Dkt. Abdalla Hasnu Makame.
No comments:
Post a Comment