Mzee Machano Khamis alikuwa ni miongoni mwa wanasiasa waliokuwa wakimuunga mkono Maalim Seif Sharif ( Allaah Amrehemu) alipokuwa Kamishna wa Polisi na Maalim ni Waziri Kiongozi.
Mzee Machano ambae sasa ni mgonjwa aliwahi kushika wadhifa wa Mjumbe wa Baraza la Mapinduzi na Makamu Mwenyekiti Mstaafu wa chama cha CUF.
No comments:
Post a Comment